Nyuma ya Mapazia – PDF/EPUB Version Downloadable

$49.99

Author(s): R. Mtobwa
Publisher: University of Nairobi Press
ISBN: 9789966561558
Edition:

Important: No Access Code

Delivery: This can be downloaded Immediately after purchasing.

Version: Only PDF Version.

Compatible Devices: Can be read on any device (Kindle, NOOK, Android/IOS devices, Windows, MAC)

Quality: High Quality. No missing contents. Printable

Recommended Software: Check here

Description

Tanzania iliingia katika uchaguzi mkuu ulioshirikisha vyama vingi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1995. Kampeni kubwa za kitaifa na kimataifa zilifanyika hadharani na sirini. Yako mengi yaliyokuwa yakiendelea �Nyuma ya Mapazia�. Mengi ya kutisha na kuogofya, na ambayo yaliambatana na matumizi makubwa ya pesa, mauaji ya kikatili na ujambazi usio na kifani. Joram Kiango, Inspekta Kombora na kikosi kizima cha polisi wanagonga mwamba katika harakati zao za kutatua kizungumkuti hicho. Kutokweka kwa King Halfan King na maiti ya mpenziwe kupatikana ikielea ufukweni wa Bahari ya Hindi kunazidisha maswali mengi bila majibu. Hata hivyo, kizungumkuti hiki kitatatuliwa?